Featured Posts
Ulimwengu wa Dini
Pata habari za Dini za Kitaifa na Kimataifa duniani kote kwa kupitia tovuti yetu.
TANGAZA BIASHARA YAKO NA Ulimwengu wa Dini
Ulimwengu wa Dini
Pata habari za Dini za Kitaifa na Kimataifa duniani kote kwa kupitia tovuti yetu.
TANGAZA BIASHARA YAKO NA Ulimwengu wa Dini
Ulimwengu wa Dini
Pata habari za Dini za Kitaifa na Kimataifa duniani kote kwa kupitia tovuti yetu.
TANGAZA BIASHARA YAKO NA Ulimwengu wa Dini
Ulimwengu wa Dini
Pata habari za Dini za Kitaifa na Kimataifa duniani kote kwa kupitia tovuti yetu.
TANGAZA BIASHARA YAKO NA Ulimwengu wa Dini
Ulimwengu wa Dini
Pata habari za Dini za Kitaifa na Kimataifa duniani kote kwa kupitia tovuti yetu.
TANGAZA BIASHARA YAKO NA Ulimwengu wa Dini
Tuesday, June 3, 2014
Sunday, June 1, 2014
Saturday, May 31, 2014
Sunday, June 30, 2013
Heshima ya mwanadamu katika utawala wa Imam Mahdi AS
Assalaamu Alaykum wapenzi wasikilizaji
Warahmatullahi Wabarakatuh. Siku ya leo inasadifiana na siku aliyozaliwa
mwokozi aliyeahidiwa, mtukufu Hujjatu Ibn al Hassan al Mahdi, Imamu wa
Zama (Mwenyezi Mungu aharakishe kudhihiri kwake). Mtukufu huyo alizaliwa
mwezi 15 Shaaban mwaka 255 Hijria katika mji wa Samarra kaskazini mwa
Baghdad ya Iraq ya leo. Jina lake ni sawa na jina la Bwana Mtume SAW.
Baba yake ni mtukufu Imam Hassan al Askari (AS) na mama yake ni Bibi
mtukufu Nargis. Kwa mujibu wa hadithi mutawatir za Kiislamu na maandiko
ya vitabu vitakatifu vya mbinguni, mtukufu Imam Mahdi (AS) atadhihiri
katika Akhiruz Zaman na hivyo kuifanya ithibiti ahadi aliyotoa Mwenyezi
Mungu.
Subscribe to:
Posts (Atom)